Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 17, 2013

SIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA LIBOLO FC



 Timu zote zikiingia Uwanjani. (Picha zote na Dande JR)
 Kikosi cha Libolo FC
 Kikosi cha Simba.
 Nahodha wa Simba, Juma Kaseja na mwenzake Maieco Antonio wakisalimia kabla ya mchezo.
 Maamuzi wa mchezo wa Simba na Libolo wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu hizo.
 Mashabiki wa Simba.
 Beki  wa timu ya Libolo FC ya angola, Antonio Cassule akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ wakati wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliogfanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Libolo FC ilifungwa 1-0.
 Amri Kiemba akimtoka beki wa Libolo FC, Pedro Ribeiro.
 Beki wa Simba, Shomari Kapombe akimtoka beki wa Libolo FC ya Angola, Pedro Ribeiro.
 Beki wa Simba, Juma Nyoso akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Libolo FC, Antonio Cassule.
 Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Libolo FC, Gamaniel katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Libolo imeshinda 1-0. 
Kipa wa Libolo FC, Landu Mavanga akiokoa moja ya hatari langoni mwake.
 Mashabiki wa Yanga wakiipa sapoti timu ya Libolo FC ya Angola.
Beki wa Simba, Shomari Kapombe akipata matibabu baada ya kuumia. picha na http://francisdande.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment