Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 15, 2013

TRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA MASHINE ZA KODI (EFDs) KWA WAFANYABIASHARA WASIOSAJILIWA NA VAT MKOA WA ILALA





Ofisa Elimu na Huduma kwa mlipa kodi Kanda ya 
Mashariki wa Mamlaka ya  Mapato Tanzania (TRA), 
Hamisi Lupenja (kulia), akitoa mada katika semina ya 
siku moja kwa wafanyabiashara wa Kata ya Buguruni 
kuhusu matumizi ya mfumo wa mashine za kodi (EFDs) 
kwa wafanyabiashara wasiosajiliwa na VAT wa 
mkoa wa 
kodi wa Ilala. Semina hiyo imefanyika Dar es Salaam leo. 
(Picha habari na mwaibale.blogspot.com)
 Ofisa wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi wa Mkoa 
wa Kodi wa Wilaya ya Ilala, George Haule, akitoa 
mada kwa wafanyabiashara wakati wa semina hiyo
Baadhi ya Wafanyabiashara hao wakimsikiliza kwa makini 
mwezeshaji wa semina semina hiyo Bw.George Haule.
Wafanyabiashara hao wakimsikiliza kwa makini 
mwezeshaji wa semina semina hiyo Bw.Hamisi Lupenja.

No comments :

Post a Comment