Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 15, 2013

HAPPYBIRTHDAY YA KALUNDE USIPIME, YAFANA KINOMA






Rais wa Kalunde Band, Deo Mwanambilimbi akikata keki kwa pamoja na Meneja wa benki hiyo, Deborah Nyangi ambaye pia ni Muasisi wa Band hiyo.


Deborah Nyangi akiandaa keki kwa ajili ya kuwalisha baadhi ya wadau. Kushoto ni Rais wa Band hiyo, Deo Mwanambilimbi na Mwapani Yahya

Meneja wa Kalunde Band, Deborah Nyangi akiandaa akimlisha kipande cha keki, Rais wa Band hiyo, Deo Mwanambilimbi wakati wa sherehe za kutimiza miaka saba tangu kuzaliwa kwa band hiyo.


Deo kama anasema; Tumetimiza miaka saba na tunasonga mbele.


Rais wa Kalunde Bande, Deo Mwanambilimbi akimlisha keki, Meneja wa band hiyo, Deborah Nyangi wakati wa sherehe ya kutimiza miaka saba tangu kuanzishwa kwa bendi hiyo.


Kiongozi wa Wanamuziki, Bob Rudala akilishwa keki.



Wanamuziki wa Kalunde Band wakiwajibika jukwaani wakati wa Valentine Day.


Othman Amri King Majuto - Bass Guitar na Rajab Nyunyusa - Tumba
Meneja wa Band, Deborah Nyangi.

No comments :

Post a Comment