Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 7, 2013

H.BABA ATOA TAMKO JUU LA BIFU LA FLORA MVUNGI NA SHILOLE!




MSANII wa miondoko ya bongo fleva H.Baba ameamua kufunguka juu ya malumbano yaliyotokea kwa wasanii wawili wa filamu nchini Shilole na Flora Mvungi,na kuelezea hatua ambazo amezichukua kuhusu malumbano hayo.

Akiongea na safu Maisha H.Baba alisema kuwa hatua ambayo ameichukua ni kumshauri mkewe mtarajiwa Flora Mvungi kuachana na malumbano na kuendelea na kazi zake kwani wanamajukumu mazito yanayowakabili

Alisema kuwa ameamua kumshauri hivyo kwa sababu tabia ya mke wake na malumbano ni vitu ambavyo haviendani naye na kutokana na majukumu na heshima ambayo anayo kwa jamii hapaswi kufanya hayo

"Unajua mke wangu hapaswi kulumbana lumbana hovyo kutokana na hadhi yake ambayo anayo kwa jamii hivyo kwa sasa lazima anisikilize mimi nilichomshauri na kutulia ili mambo mengine yaendelee"

Flora anajiandaa kutoa single nyingine hivi karibuni ambapo jina la nyimbo hiyo halijawekwa wazi.

No comments :

Post a Comment