Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, February 26, 2013

TIBAIJUKA AMALIZA MGOGORO WA ARDHI NGORONGORO.



Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)akizungumza na wananchi wa vijiji vya Olorien Magaiduru na kijiji cha Mgongo, Kata ya Samunge katika ziara yake ya kutatua migogoro ya ardhi wilayani Ngorongoro na kufanikiwa kumaliza mgogoro wa muda mrefu ambao ngazi zote za Mkoa huo zilishindwa.
Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani,Dk Selassie Mayunga akiwa amejumuika na wananchi wa kijiji cha Sale,wilayani Ngorongoro  kwenye mkutano uliokuwa unahutubiwa na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka  kwenye ziara ya kutatua migogoro ya ardhi wilayani humo.

No comments :

Post a Comment