Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 24, 2013

SIMBA YAKATWA MKIA NA MTIBWA SUGAR, YAFUNGWA 1-0




 Kikosi cha Simba kilichoanza katika mchezo wa leo.
 Kikosi cha Mtibwa Sugar.
 Mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba akichuana na kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi.
Wachezaji wa akiba wa Simba wakiwa awaamini macho yao wakati jahazoi la timu hiyo likiwa linazama
Golikipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Mtibwa imeshinda bao 1-0. 

 Waamuzi wa mchezo wa leo wakitoka uwanjani
Kocha wa Simba, Patrick Liewig akitoka uwanjani baada ya mchezo. ZAIDI TEMBELEA http://francisdande.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment