Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 21, 2013

BENKI YA POSTA YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA WEASTERN UNION



Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa  Benki ya Posta Tanzania (TPB), Bernadethe Gogadi, akimkabidhi kitita cha shilingi milioni 2, mshindi wa promosheni ya kutumia huduma ya ‘Weastern Union’, ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha Eckenforde cha jijini Tanga, Neema Jacob (kulia), jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa Benki hiyo tawi la Samora, Deo Kayega. (Picha na Habari Mseto Blog)

Mshindi wa promosheni ya kutumia huduma za Weastern Union mwanafunzi wa Chuo cha Eckenforde cha jijini Tanga, Neema Jacob akifafanua jambo wakati wa hafla ya kukabidhiwa kitita cha shilingi milioni 2. Kushoto ni Meneja wa Benki hiyo tawi la Samora, Deo Kayega na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa  Benki ya Posta Tanzania (TPB), Bernadethe Gogadi.
Mshindi wa promosheni ya kutumia huduma za Weastern Union, Neema Jacob akiwa ameshika zawadi yake ya sh milioni 2 baada ya kukabidhiwa na uongozi wa Benki ya Posta Tanzania jijini Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment