Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 10, 2013

HALMASHAURI KUU YA CCM YAENDELEA NA VIKAO DODOMA.



Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi wakiimba nyimbo za chama ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa  Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma leo kwaajili ya semina na baadae Kikao cha NEC. Kwenye mkutano huo JK amekemea viongozi wanaoendeleza makundi ndani ya chama hicho ndio wanasimamia kujenga migogoro ndani ya chama.
mada nne zinazojadiliwa ni Nafasi  ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu katika Uongozi pamoja na Maadili ya Viongozi. Nyengine ni mjadala wa Maazimio ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika mwishoni mwa mwaka uliopita pamoja na mkakati wa kukuza ajira Nchini ambalo limo ndani ya  ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda na Mwenzake Spika wa Baraza la Wawaklilishi Zanzibar Mh. Pandu  Ameir Kificho wakiwa katika Semina ambao nao pia ni Wajumbe wa Nec ya CCM.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Tanzania Bara Ndugu Mwigulu Nchemba na Mwenzake Balozi Seuif Ali Iddi ambae pia ni Makamu wa pIli wa Rais wa Zanzibar.

No comments :

Post a Comment