Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, February 9, 2013

SIMBA YATOKA SARE YA 1-1 NA JKT OLJORO




Wachezaji wa simba, wakimpongeza kiungo wao Mwinyi Kazimoto, baada ya kuifungia timu yake bao, wakati wa mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Jijini Arusha loe jioni. Katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 1-1.
*************************************
TIMU ya Simba ya jijini Dar es Salaam, leo jioni imevutwa shati na JKT Oljoro baada ya kufungana bao 1-1, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Voidacom Tanzania Bara, mzunguko wa pili uliochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Kwa timu ya Simba leo imetimiza sare ya pili tangu kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi hiyo, baada ya wiki iliyopita kulazimishwa sare kama hiyo na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaamm na kuifanya 
Simba kutimiza jumla ya  pointi 28, baada ya kucheza mechi 16, huku watani wao Yanga wakiongoza kwa kuwa na pointi 33 na mchezo mmoja mkononi, wakati Azam FC ya pili wakiwa na pointi 30 na mchezo mmoja mkononi.
Bao la JKT Oljoro, lilifungwa na Paul Nonga, katika dakika ya tisa tu tangu kuanza kipindi cha pili.

No comments :

Post a Comment