Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 26, 2012

BREAKING NEWZZZ MSANII SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI


HABARI zilizopatikana hivi punde juu ya ndugu yetu,Mtanzania mwenzetu mwigizaji na mwanamuziki maaraufu Sharo Milionea amefariki dunia.
Kwa mujibu wa taarifa hizo  msanii huyo amefariki kwa ajali ya gari alilokua akiendesha mwenyewe majira ya saa 2 usiku ,Maeneo ya Mjini  Muheza mkoani Tanga.
Marehemu Hassan Mkiety 'sharo Milionea kifo chake ni pigo katika  fani ya maigizo na uchekeshaji 

No comments :

Post a Comment