Meneja wa Kutengeneza Ofa za Intaneti za Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto) akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo ya pili ya Smartcard, Dar es Salaam. Anayeshuhudia kulia ni Mkaguzi Mwandamizi wa Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini, Abdallah Hemed. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
2 days ago
No comments :
Post a Comment