Meneja wa Kutengeneza Ofa za Intaneti za Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto) akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo ya pili ya Smartcard, Dar es Salaam. Anayeshuhudia kulia ni Mkaguzi Mwandamizi wa Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini, Abdallah Hemed. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
KATIBU MKUU KIONGOZI ZANZIBAR AFUNGUA MAFUNZO SIWOLEMA
-
Katibu Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Zena Ahmed
Said ametoa wito ka washiriki 58 wanawake Viongozi wa Taasisi za umma na
binafsi ...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment