Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, November 22, 2012

Nicolas Cage apunguza deni la kodi





 NEW YORK, Marekani

MWIGIZAJI wa filamu nchini hapa, Nicolas Cage amepunguza deni la kodi analodaiwa kwa kulipa kiasi cha dola 600,000.

Baada ya kulipa kiasi hicho cha fedha hivi sasa mwigizaji huyo atakuwa akidaiwa kiasi cha dola milioni 6.

Mwigizaji huyo amekuwa akidaiwa kiasi hicho cha fedha kutokana na kuwa bingwa wa kukwepa ulipaji wa kodi.

Cage alijimwagia sifa kwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa kusema kwamba amepunguza deni ambalo limekuwa likisumbua akili zake.

No comments :

Post a Comment