Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, November 22, 2012

Tamasha la Jinsia Morogoro





 Mgeni rasm na Mkuu wa Chuo cha Jinsia Dk. Diana Mwiru wakifuatilia tamasha la Jinsia  ngazi ya wilaya linaloendelea katika viwanja vya MOSEKA Mkamabarani Morogoro Vijijini, kuanzia 21-23 Novemba 2012. washiriki zaidi ya  400 wamejitokeza kwa siku ya kwanza huku tukitarajia ongezeko kubwa la wan anchi siku ya leo kutokana na msisimko mkubwa wa mada na wananchi wengi kutaka kuzungumzia kero zao, kwa siku ya jana.  Jana  kilio kikubwa kilikuwa ni Migogoro ya ardhi na uongozi mbovu.

 Wanaanchi wa Mkambarani
 Wananchi wa Morogoro walioshiriki tamasha wakiendelea kusikiliza watoa mada
Ni burudani kila mara kuondoa uchovo

No comments :

Post a Comment