Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 14, 2012

TIGO YASABABISHA KIZAZAA KWA WATEJA WAKE


Na Mwandishi Wetu

KUKATIKA kwa mawasiliano katika mtandao wa Tigo kwa wateja wake wote nchini kumezua kizazaa cha kuhaha kuwasiliana na ndugu zao na wengine kushindwa kutuma fedha kwa njia ya simu Tigo Pesa kutoka jana usiku hadi saa tano ya leo.

Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Tigo, Tuli Mwaikenda alisema tatizo hilo limetokana na kukatika kwa umeme uliosababisha mfumo wa mawasiliano ya Tigo kukatika na kusababisha usumbufu mkubwa.

Msemaji wa Kitengo cha Mawasiliano wa TANESCO, Badra Masoud alikiri umeme kukatika na hiyo imesababishwa na mitambo ya gesi inayozalisha umeme katika kisima cha Songosongo mkoa wa Lindi kupokea gesi chini ya asilimia 50.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw. Fadhil Kilewo alisema kukatika kwa umeme kunatokana na uchakavu wa mitambo ya TANESCO.

No comments :

Post a Comment