Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 26, 2012

My Everything ya Alikiba yasikika redioni




Na Elizabeth John
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini Ali Kiba baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu ameachia kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘My everything’.

Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, Alikiba amesema alikuwa kimya kwa muda mrefu sasa amejipanga na ameamua hivyo mashabiki wakae tayari kupokea burudani kutoka kwake.

“Nilikuwa kimya kwa muda mrefu sasa nimejipanga na nimeamua kutoa burudani kwa mashabiki wangu hivyo watarajie vitu vizuri mfurulizo kutoka kwangu,” amesema Alikiba.

Amesema sasa anatarajia kutoa vitu mfululizo kwaajili ya kuwapa burudani mashabiki wake na kudai kuwa baada ya wiki mbili mbele atakuwa ameanza kusambaza video ya kibao hicho.

“Kkwasasa ukichelewesha kutoa video wimbo unachuja haraka hivyo [sipo tayari kuaribu kazi yangu nimejipanga na nimeamua ntaakikisha video inatoka mapema kabla ya kibao hicho kuchuja,” amesema Alikiba.

No comments :

Post a Comment