Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 14, 2012

STARS WACHIJUA CCM KIRUMBA KUIKABILI HARAMBEE STARS YA KENYA.



 Kolikipa wa timu ya Taifa Stars, Juma Kaseja akifanya mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza akijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa lkesho katika Uwanja huo.
  Kocha wa timu ya Taifa Stars, Kim Poulsen akizungumza na wachezaji wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza wakijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja huo.
  Mchezaji wa timu ya Taifa Stars, Othuman Idd Chuji (kulia) akiwaelekeza wachezaji wenzake staili mpya ya kushangilia wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza wakijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja huo.
  Mchezaji wa timu ya Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimfunga golikipa Juma Kaseja wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza wakijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja huo.
  Kocha wa timu ya Taifa Stars, Kim Poulsen akizungumza na wachezaji,Mbwana Samata (kulia) na Thomas Ulimwengu wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza wakijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja huo.
Mchezaji wa timu ya Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akimfunga golikipa Juma Kaseja wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza wakijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars ya Kenya inayotarajiwa kuchezwa leo katika Uwanja huo.

No comments :

Post a Comment