Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 18, 2012

PICHA ZA KITOTO KICHANGA KILICHOOKOTWA JALALANI MKOANI SINGIDA.



Mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya mwezi moja au mwezi mmoja nusu akiwa amebebwa na mama msamaria mwema baada ya kuokotwa akiwa ametelekezwa kwenye takataka ngumu nyuma ya nyumba ya kulala wageni ya Subira iliyopo mjini Singida.
Mama msamaria mwema akiwa anasindikizwa na askari polisi kumpeleka mtoto mchanga kituo kidogo cha polisi kilichopo kituo cha zamani cha mabasi mjini Singida.Mtoto huyo wa kiume ameokotwa (16/11/2012) baada ya kutelekezwa kwenye lundo la takataka na mtu ambaye bado hajafahamika hadi sasa. (Picha na Nathaniel Limu).

No comments :

Post a Comment