Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 26, 2012

Tigo Yadhamini Mpango Wa Taifa Wa Damu Salama.



Meneja wa Mpango Taifa wa Damu Salama Dkt. Elesper Nyka akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 32 kwa madhumuni la kushawishi jamii kujitolea kutoa damu kwa hiari.
Afisa Masoko wa kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Bw. Alex Msigara (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kampuni hiyo kudhamini Mpango wa Taifa wa damu Salama wenye madhumuni ya kuelimisha jamii mkoani Lindi kuhusu umuhimu wa utoaji damu salama. Kushoto ni Meneja wa Mpango Taifa wa Damu Salama Dkt. Elesper Nyka na kulia ni Tully Mwaikenda.

No comments :

Post a Comment