Bondia Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO KUMUWAKILISHA RAIS JIJINI NICE UFARANSA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango,
leo tarehe 07 Juni 2025 ameondoka nchini kuelekea Ufaransa kumwakilisha
Rais w...
13 hours ago
No comments :
Post a Comment