| Bondia Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
ACT WAZALENDO WAITWA KUUNDA SERIKALI ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kina imani na Serikali ya Umoja wa
Kitaifa (SUK) kwani ndio mfumo ambao waZanzibari ...
5 hours ago

No comments :
Post a Comment