| Bondia Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
KAMPUNI YA ALGERIA KUWEKEZA VIWANDA VYA KOROSHO TANZANIA
-
.
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia
kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili
kuongez...
22 hours ago

No comments :
Post a Comment