Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 28, 2012

MREMBO ANAESHIKILIA TAJI LA MISS UNIVERSE TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA NA BASATA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, Mashindano kuunguruma Disemba 19 nchini Marekani.



Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini(BASATA) Ghonche Materego(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Mrembo wa Tanzania anaeshikilia taji la Miss Universe Winfrida Dominic, kwenye ofisi za Baraza hilo jijini Dar es Salaam leo, mrembo huyo anaiwakilisha Tanzania kwenye fainali za mashindano hayo nchini Marekani yanayotarajiwa kufanyika December 19 mwaka huu.

Mrembo huyo akizungumza na katibu mtendaji wa Basata kabla ya kukabidhiwa bendera hiyo.

No comments :

Post a Comment