Dkt.Bilal Amjulia Hali Sheikh Wa Bagamoyo
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
 Bilal, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud 
Jembe, anayesumbuliwa na maradhi, wakati Makamu wa Rais alipofika 
nyumbani kwa Sheikh huyo, eneo la Ramiah mjini Bagamoyo, leo Nov 27, 
2012 kwa ajili ya kumjulia hali.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
 Bilal, akizungumza na Sheikh wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud Jembe,
 wakati alipofika nyumbani kwa sheikh huyo eneo la Ramiah mjini 
Bagamoyo, leo Nov 27, 2012 kwa ajili ya kumjulia hali kutokana na 
maradhi yanayomsumbua sheikh huyo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, 
Ahmed Kipozi. Picha na OMR 
 
 
 
 
 
                        
                    
 
  
 
 
 
No comments :
Post a Comment