Hii
 Ndio sehemu watakayokaa wakuu na Viongozi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma 
kwaajili ya kuwatunuku wahitimu muda mfupi ujao katika viwanja vya 
chimwaga vilivyopo chuoni hapo
Baadhi
 ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha Cha Chuo 
Kikuu Cha Dodoma wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho 
na rafiki zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu Cha 
Dodoma yanayotajiwa kuanza saa saba Mchana wa leo katika viwanja vya 
Chimwaga Vilivyopo Chuoni Hapo
Nikiwa
 na Classmate wangu Wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha
 Dodoma Katika Mahafali ya Tatu ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) 
yanayofanyika katika Viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni Hapo
Kutoka
 Kushoto Ni Josephat Lukaza Mmiliki wa Lukaza Blog akifuatiwa na 
Emmanuel Mwakibinga na Patrick Kapachino Kapongwa katika Picha ya Pamoja
 Kabla ya Sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Kuanza 
katika Viwanja Vya Chimwaga leo
Wahitimu
 wakiwa katika shamrashamra za huku na kule katika Kuchuku taswira za 
ukumbusho katika mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu Cha Dodoma yanayofanyika
 katika viwanja vya chimwaga vilivyopo Chuoni hapo
Wahitimu
 wakiwa Katika Harakati za hapa na pale katika mahafali ya tatu ya chuo 
kikuu cha Dodoma yanayofanyika katika Viwanja Vya Chiwaga Vilivyopo 
Chuoni hapo leo. Tutaendelea Kuwarushia Matukio Zaidi ya Mahafali ya 
Tatu Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma. Endelea Kufuatilia Lukaza BLOG
No comments :
Post a Comment