Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 14, 2012

Rais Kikwete akutana na Sekretarieti mpya ya CCM Dodoma




Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(wapili kushoto) akizungumza na Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Sefu Iddi,Makamu mpya wa CCM Bara Bwana Philip Mangula(watatu kushoto)pamoja na makamu wa CCM Bara aliyemaliza muda wake Bwana Pius Msekwa. (picha na Freddy Maro).
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein(kushoto) pamoja na Makamu mwenyekiti  mpya wa CCM Bara Ndugu Philip Japhet Mangula(kulia) ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi.


Mwenyekiti wa CCM Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo pamoja na Makamu mweyekiti mpya wa CCM Bara, Bwana Philip Mangula (Katikati) pamoja na Makamu Mwenyekiti Bara aliyemaliza muda wake Bwana Pius Msekwa ikulu ndogo mjini Dodoma leo.

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana  Katibu mkuu wa CCM aliyemaliza muda wake Dkt.Wilson Mukama ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi.Dkt.Mukama ameteuliwa kuwa mkuu wa Chuo cha Uongozi  cha CCM.

Mwenyekiti a CCM Dkt. Jakaya Mrisho  Kikwete akiwa na naibu Katibu mkuu mpya wa CCM Bwana Mwigulu Nchemba ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi.

Mwenyekiti wa CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu mpya wa oganaizesheni  ya CCM Bwana Mohamed Seif Khatib mjini Dodoma leo asubuhi.

No comments :

Post a Comment