| Mwenyekiti a CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na naibu Katibu mkuu mpya wa CCM Bwana Mwigulu Nchemba ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi. | 
| Mwenyekiti wa CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu mpya wa oganaizesheni ya CCM Bwana Mohamed Seif Khatib mjini Dodoma leo asubuhi. | 
No comments :
Post a Comment