MARA
kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi huenda
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
katika kiktuo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James.
WANANCHI KIJIJI CHA NSEKWA WILAYANI MLELE WAIPONGEZA TARURA UJENZI WA
BARABARA ZA LAMI
-
Wananchi wa Kijiji cha Nsekwa, Kata ya Nsekwa katika Halmashauri ya Wilaya
ya Mlele mkoani Katavi wametoa pongezi zao kwa Serikali kupitia Wakala ya
Barab...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment