![]() |
| Waziri wa Miundmbinu na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (CUF) Hamad Masoud, amejiuzulu kufuatia ajali ya boti ya MV Skagit, iliyotokea zanzibar hivi karibuni na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ameridhiakujiuzulu kwa Waziri huyo na amemteua Rashid Seif Selemani (Ziwani CUF) kushika nafasi hiyo. Huku makamo wapili wa Rais wa Serikali hiyo Balozi Seif Ally Iddi akisema uamuzi wakujiuzulu Hamad ni wake binafsi. |
UKIWA NA JANABA USIINGIE PANGO LA FATUMA KATIKA MAPANGO YA AMBONI TANGA
-
Na Kassim Nyaki, Tanga.
Je umewahi kutembelea Mapango ya Amboni na kupata simulizi zake?
Pengine kwa muda mrefu unatafuta mchumba uoe au uolewe lakini ...
2 hours ago

No comments :
Post a Comment