Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi hanga la Precisionair katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere leo asubuhi.Kushoto ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt.Harrison
Mwakyembe na kulia ni mwanzilishi na Mwenyekiti wa Precision air Bwana
Michael Shirima.
UKIWA NA JANABA USIINGIE PANGO LA FATUMA KATIKA MAPANGO YA AMBONI TANGA
-
Na Kassim Nyaki, Tanga.
Je umewahi kutembelea Mapango ya Amboni na kupata simulizi zake?
Pengine kwa muda mrefu unatafuta mchumba uoe au uolewe lakini ...
2 hours ago



No comments :
Post a Comment