Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 22, 2012

TEMEKE JOGGING WAPATA VIFAA VYA MICHEZO



Katibu wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub, Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo,  Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging


Baadhi ya watoto wanaounda Mbogwe Kids.
Katibu wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub, Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo,  Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging. 
Mwenyekiti wa Temeke Jogging akionesha vifaa alivyokabidhiwa.

No comments :

Post a Comment