Katibu
wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya
michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu
kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi
za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub,
Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni
Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo, Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging.
KAMA UNA UGOMVI NA MTU KARIBU MAPOROMOKO YA MAJI ENDORO
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro imeanza utekelezaji wa mpango
maalum wa kuboresha eneo la Endoro ili litumike kama sehemu ya utalii tiba
kwa wa...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment