Katibu
wa Mbogwe Group, Shukuru Mihayo, (Kushoto), akimkabidhi vifaa vya
michezo, Mwenyekiti wa Temeke Jogging, Musa Mtulya, vikiwa ni maalumu
kwa ajili ya timu ya watoto ya soka ya Mbogwe, ikiwa ni moja ya juhudi
za kukuza vipaji vya watoto, katika hafla iliuofanyika Mbogwe Pub,
Kurasini jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni
Chichi Somboko, Kocha wa timu hiyo, Doto Ramadhani na Christopher Nathaniel ambaye ni Katibu wa Temeke Jogging.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment