Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 22, 2012

SIMBA YATOKA DROO YA 1-1 NA AS VITA KOMBE LA KAGAME SASA KUKIPIGA NA AZAM




 Kiungo mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (kushoto) akichuana kuwania mpira na beki wa As Vita, Mfongang Alfred, wakati wa mchezo huo.Timu ya AS Vita, inazaminiwa na Kampuni ya Tigo nchini mwao kama anavyonekana akiwa amevaa jezi yenye nembo ya wadhamini wao katika Soka
 Juma Nyoso wa Simba (kushoto) akimchezea rafu mcheaji wa As Vita, Etekiama Taddy, wakati wa mchezo huo leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa.
 Mshambuliaji wa As Vita, Magola Mapanda (kulia) akiwania mpira na beki wa Simba, Juma Nyoso, wakati wa mchezo huo.
Kipa wa Simba, Juma Kaseja, akichungulia mpira uliopigwa kwa mkwaju wa penati na Etekiama Taddy na kuandika bao katika dakika ya 35 ya kipindi cha kwanza. Simba wamekosa penati katika dakika za majeruhi baada ya Sunzu kupiga fyongo na kuokolewa na kipa wa AS Vita na kufanya matokeo kuwa 1-1.

YANGA KUCHEZA NA MAFUNZO, SIMBA NA AZAM
WAKATI huo huo tayari Shirikisho la mpira wa miguu Tff, limekwishatoa maamuzi kwa kurusha shilingi na kumpata mshindi wa kwanza na wa pili katika kundi B, ambapo Yanga sasa itacheza na Mafunzo siku ya jumatatu na Azam kuchea na Simba na As Vita watacheza na Atletico.

No comments :

Post a Comment