Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kwenye kaburi la marehemu Mwalimu
James Irenge ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius
Nyerere, katika mazishi yaliyofanyika, Butiama mkoani Mara Julai
26,2012. Katikati ni mkewe Tunu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara,
John Tuppa.
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment