Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kwenye kaburi la marehemu Mwalimu
James Irenge ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius
Nyerere, katika mazishi yaliyofanyika, Butiama mkoani Mara Julai
26,2012. Katikati ni mkewe Tunu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara,
John Tuppa.
MSIGWA: SERIKALI AWAMU YA SITA INATHAMINI MCHANGO WA WAANDISHI MTANDAONI
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari nchini Tanzania Gerson Msigwa.
Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kulea na
kuwawezesha wa...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment