Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kwenye kaburi la marehemu Mwalimu
James Irenge ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius
Nyerere, katika mazishi yaliyofanyika, Butiama mkoani Mara Julai
26,2012. Katikati ni mkewe Tunu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara,
John Tuppa.
BALOZI NCHIMBI ATETA NA MWANAHABARI MKONGWE NCHINI KIBANDA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi
akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la
Waha...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment