Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kwenye kaburi la marehemu Mwalimu
James Irenge ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius
Nyerere, katika mazishi yaliyofanyika, Butiama mkoani Mara Julai
26,2012. Katikati ni mkewe Tunu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara,
John Tuppa.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment