Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 29, 2012

DIWANI KATA YA KIVULE ASAIDIA MSONGAMANO WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VYA TAIFA



 Diwani wa Kata ya Kivule, Dar es Salaam, Getama Nyansika (kulia) akiwa amezingirwa na wananchi alipokuwa akigawa fomu za kuijiandikisha katika daftari la Vitambulisho vya Taifa leo katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Kivule.Nyansika alisaidia sana kupunguza msongamano wa watu uliokuwepo hapo tangu alfajiri.
 Wakazi wa eneo hilo wakiwa katika moja ya mlango wakigombea kuingia kuchukua fomu
                                                Wakiwa kwenye foleni kwenda kujiandikisha ndani
                                   Baadhi yao baada ya kupata foumu wakisoma vizuri maelekezo
Baadhi ya akina mama wakiwemo wazee wakiwa wamekaa wakisubiri zamu ya kuingia kujiandikisha. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

No comments :

Post a Comment