Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 28, 2012

YANGA WALIVYO KINUKISHA UWANJA WA TAIFA LEO. WAKATAA LAMBALAMBA ZA BAKHRESA. Mfupa uliomshinda Simba waula kiulainiiii



Mshambuliaji wa yanga Said Bahanunzi akimtoka beki wa Azam FC Agrey Morris wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kagame Cup uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wataifa jijini Dar es Salaam ambapo Yanga wameibuka na Ushindi wa mabao 2-0, huku Bahanuzi akipachika bao kwenye dakika za nyongeza za mwamuzi.
Mshambuliaji wa Yanga Hamis Kiiza Akimtoka Beki wa Azam Fc Jabir Azizi kabla ya kupachika bao la kwanza kwenye mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga wakijimwayamwaya kwenye uwanja wa Taifa leo baada ya Said Bahanuzi kupachika bao la pili.
Wachezaji nao waliburudika kimtindo baada ya kupata ushindi.

No comments :

Post a Comment