Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
ELIMU SHIRIKISHI NA UHIFADHI WA UTALII YATOLEWA MASHULENI
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya
uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utalii wa ndani kwe...
10 hours ago

No comments :
Post a Comment