Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
BALOZI MATINYI AKABIDHI HATI KWA RAIS WA ALGERIA
-
Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mhe. Abdelmadjid
Tebboune, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, mara baada ya
kukabidhi...
2 days ago

No comments :
Post a Comment