Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya
kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
KAGERA SUGAR WAICHAPA TRANSIT CAMP NYUMBANI
-
Timu ya soka ya Kagera Sugar ya Bukoba jana wametoka kifua mbele kwa
ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Timu ya Transint Camp kwenye mchezo wa ligi
daraja...
11 minutes ago

No comments :
Post a Comment