Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 30, 2012

Walimu wagoma, wengine waukataa, waendelea na kazi


 Mwalimu wa Shule ya Msingi Mnazi Mmoja, Salma Mtili akisahihisha daftari la mwanafunzi wa darasa la nne wa shule hiyo, licha ya Rais wa Chama cha Walimu Tanzaniza (CWT), kutangaza mgomo wa walimu nchi nzima. (Picha zote na Mseto Blog)

Mwalimu wa Shule ya Msingi Mnazi Mmoja, Salma Mtili akiangalia kazi kwenye daftari la mwanafunzi wa darasa la nne wa shule hiyo, licha ya Rais awa Chama cha Walimu Tanzaniza (CWT), kutangaza mgomo wa walimu wote nchi nzima.

No comments :

Post a Comment