Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 30, 2012

MAMA MWANAMWEMA SHEIN ATEMBELEA MAKAZI YA WAZEE LIMBANI LEO



 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi futari Mzee wa Nyumba ya Wazee Limbani Hamadi Ali, wakati alipofika katika makazi yao kuwatembelea na kutoa  Futari kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani,(katikati) ni Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawanke na Watoto Bi Zainab Omar. Picha zote na Othman
Maulid,Pemba
 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wazee wa Nyumba ya Wazee Limbani Wete Pemba alipofika kuwatembelea na kutoa futari kwa Wazee hao leo.
 Baadhi ya Wazee wanaoishi katika  Nyumba ya Wazee Limbani Wilaya ya Wete Pemba, wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, alipofika kuwatembelea na kutoa futari kwa ajili ya Mwezi  mtukufu wa
Ramadhani leo.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiagana na Viongozi wa Wizara ya Ustawi wa Jamii,  Pemba, baada ya kuwatembelea Wazee wa Limbani Wete na kutoa Futari kwa Wazee hao leo.

No comments :

Post a Comment