Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 24, 2012

KILWA WAMUAGA MKUU WA WILAYA KWA SHEREHE.




Mbunge wa Kilwa kusini Suleiman Said Bungara (Bwege) akiteta jambo na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Nurdin Babu wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika mjini Kilwa Masoko.
Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa wakiheza Rusha Roho kwenye hafla ya kumuaga Mkuu wa Wilaya Nurdin Babu ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mafia.
Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Said Bungara akicheza Rusha Roho wakati wa hafla ya kumuaga mkuu wa Wilaya huyo.

No comments :

Post a Comment