Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 22, 2012

Rais Dk. Shein awaongoza viongozi katika dua ya Hitma ya Waliokufa kwa Ajali ya Meli hivi karibuni



 Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(wa tano kushoto) pamja na
Viongozi wengine wa Serikali wakiungana na Waislamu   katika Swala ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar,swala hiyo ikiongozwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi,katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
  Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(wa tano kushoto) pamja na
Viongozi wengine wa Serikali wakiungana na Waislamu   katika Swala ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar,swala hiyo ikiongozwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi,katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) pamja na Viongozi wengine wa
Serikali wakiungana na Waislamu   katika Hitma ya  kuwaombea Dua
Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya Kampuni ya
Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam kuelekea
Zanzibar, katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar leo.[Picha na
Ramadhan Othman Ikulu.]
 Baadhi ya Waislamu  waliohudhuria katika  Hitma ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar, katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu
You might also like:

No comments :

Post a Comment