Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 26, 2012

Watu wazidi kujinyakulia zawadi za promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO ya SBL




Meneja wa bia ya Serengeti bw Allan Chonjo akiongea na waandishi wa habari baada ya kuchezesha droo ya 12 katika promosheni ya ‘VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, kulia ni Tumainieli Mlisa kutoka PWC na kushoto ni Bakari Maggid kutoka bodi ya taifa ya bahati nasibu.Washindi katika droo hiyo ni Kosmas George Bugomora 41 kutoka mkoa wa Mwanza na bw.Sebastian Temu 48 kutoka Dar es Salaam ambao wote kwa pamoja wamejishindia jenereta huku bw.Deo Mkama 47 kutoka mkoani kilimanjaro ambaye  amejinyakulia bajaj mpya.
Meneja wa bia ya Serengeti bw Allan Chonjo katikati akiongea na mmoja wa washindi wa promosheni ya ‘VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, kupitia simu ya mezani,kulia ni Bakari Maggid mkaguzi kutoka bodi ya taifa ya bahati nasibu, wengine ni wasimamizi kutoka PWC. Hii ni droo ya 12 katika promosheni ya vumbua hazina chini ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa takriba wiki 15 sasa.

No comments :

Post a Comment