Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 30, 2012

Rais wa Zanzibar awasili Pemba leo



 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali
mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa
Karume Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali,
alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika
ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.[Picha na Ramadhan
Othman,ORZ.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi  wakuu wa
Vikosi vya Ulinzi Pemba, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume
Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]

No comments :

Post a Comment