Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 22, 2012

SASA NI ZAMU YA MBEYA. WASHIRIKI KIBAO WAJITOKEZA.



Majaji wa EPIQ BSS Wakiwa na meneja wa Mawasiliano wa Zantel, Awaichi Mawalla wakati wakisimama kwa dakika moja kuwakumbuka waliokufa kwa ajali ya meli ya MV Skagit iliyotokea tar 18 July ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha kabla ya kuanza kwa shindano hilo mkoani Mbeya kwenye wa   Club Vybes, Mbeya.
Washiriki wakipanga mistari kwaajili ya kufanya usaili.

Washiriki wakibandnamba zao.
Washiriki wakisikiliza maelekezo kwa makini kabla hawajaenda kwa majaji.

No comments :

Post a Comment