Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris
Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto
Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa
Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi
na mazingira Mjini Mbeya leo mchana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo
Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(Watau kushoto) na Waziri wa Maji Profesa
JumANNE Maghembe wakikagua chanzo cha
maji eneo la Swaya mjini Mbeya wakati wa uzinduzi wa mradi maji safi na mazingira
mjni humo leo mchana.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment