Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na ujumbe wa Uongozi wa Chama cha Wanasheria Zanzibar
(ZLS) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ukiongozwa na Rais wa Jumuiya
hiyo Awadh Ali Said,(wa pili kushoto).Picha na Ramadhan Othman,ORZ.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi
wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa
Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak Suweid El-Amri,
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa Mazungumzo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment