Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na ujumbe wa Uongozi wa Chama cha Wanasheria Zanzibar
(ZLS) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ukiongozwa na Rais wa Jumuiya
hiyo Awadh Ali Said,(wa pili kushoto).Picha na Ramadhan Othman,ORZ.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi
wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa
Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak Suweid El-Amri,
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa Mazungumzo.
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
3 days ago


No comments :
Post a Comment