Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na ujumbe wa Uongozi wa Chama cha Wanasheria Zanzibar
(ZLS) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ukiongozwa na Rais wa Jumuiya
hiyo Awadh Ali Said,(wa pili kushoto).Picha na Ramadhan Othman,ORZ.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi
wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa
Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak Suweid El-Amri,
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa Mazungumzo.
VIKUNDI VYA WAKANDARASI WA NGUVU KAZI STAHIKI WATAKIWA KUCHANGAMKIA ZAIDI
YA BILIONI15 ZA TARURA DAR.
-
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA Mkoa wa Dar es
Salaam Mha. Geofrey Mkinga amevitaka vikundi maalumu vya Wakandarasi wa
nguvu ka...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment