Mkubwa hali vipi? Hebu nitolee kwenye blog yako picha ya huyu Mbu wa Ajabu ambaye nimemkuta leo ndani kwangu. Ana features zote za Mbu ila mabawa yake na rangi imenistua kidogo. Naomba uniwekee kwenye blogs ili wadau watuhabarishe huyu ni mbu wa jamii gani na analeta madhara gani kwa jamii au siyo mbu ni mdudu tuu? Utaniwia radhi Quality ya picha inaweza kuwa siyo nzuri sana kwa sababu nimetumia simu yangu ya mkononi. |
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
20 hours ago
No comments :
Post a Comment