| Mkubwa hali vipi? Hebu nitolee kwenye blog yako picha ya huyu Mbu wa Ajabu ambaye nimemkuta leo ndani kwangu. Ana features zote za Mbu ila mabawa yake na rangi imenistua kidogo. Naomba uniwekee kwenye blogs ili wadau watuhabarishe huyu ni mbu wa jamii gani na analeta madhara gani kwa jamii au siyo mbu ni mdudu tuu? Utaniwia radhi Quality ya picha inaweza kuwa siyo nzuri sana kwa sababu nimetumia simu yangu ya mkononi. |
MSIGWA: SERIKALI AWAMU YA SITA INATHAMINI MCHANGO WA WAANDISHI MTANDAONI
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari nchini Tanzania Gerson Msigwa.
Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kulea na
kuwawezesha wa...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment