Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 27, 2012

JOSE CHAMILION AANDAMANA NA KUWEKA KAMBI NJE YA JENGO LA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA KUSHINIKIZA SHIGONGO AMREJESHEE PASPORT YAKE




Mwanamuziki maarufu nchini Uganda Jose Chameleone, akiwa nje ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda na mabango sambamba na wapambe wake akishinikiza apatiwe passport yake ambayo anadai inashikiliwa na Bw. Erick Shigongo. Picha mbalimbali kama zinavyoonyesha tukio hilo nje ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda. Picha zaidi ingia kwenye http://www.facebook.com/josechameleone
Askari wakilinda usalama wakati wa maandamano hayo.
Maandamano ya wana Bodaboda yakimuunga mkono.

No comments :

Post a Comment