Washiriki
wa warsha ya wapiga picha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC
anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dkt. Julius Rotich (aliyeketi wa
pili kushoto) jijini Arusha jana. Kushoto kwake ni Kaimu mkuu wa mpango
wa EAC-GIZ (kulia) ni Mkuu wa Idara ya Habari EAC Owora Othieno. Kulia
kabisa aliyesimama ni mratibu wa mafunzo wa EAC Sukhdev Chhatbar.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment