Washiriki
wa warsha ya wapiga picha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC
anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dkt. Julius Rotich (aliyeketi wa
pili kushoto) jijini Arusha jana. Kushoto kwake ni Kaimu mkuu wa mpango
wa EAC-GIZ (kulia) ni Mkuu wa Idara ya Habari EAC Owora Othieno. Kulia
kabisa aliyesimama ni mratibu wa mafunzo wa EAC Sukhdev Chhatbar.
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
1 day ago
No comments :
Post a Comment