Washiriki
wa warsha ya wapiga picha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC
anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dkt. Julius Rotich (aliyeketi wa
pili kushoto) jijini Arusha jana. Kushoto kwake ni Kaimu mkuu wa mpango
wa EAC-GIZ (kulia) ni Mkuu wa Idara ya Habari EAC Owora Othieno. Kulia
kabisa aliyesimama ni mratibu wa mafunzo wa EAC Sukhdev Chhatbar.
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
17 hours ago

No comments :
Post a Comment