Washiriki
wa warsha ya wapiga picha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC
anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dkt. Julius Rotich (aliyeketi wa
pili kushoto) jijini Arusha jana. Kushoto kwake ni Kaimu mkuu wa mpango
wa EAC-GIZ (kulia) ni Mkuu wa Idara ya Habari EAC Owora Othieno. Kulia
kabisa aliyesimama ni mratibu wa mafunzo wa EAC Sukhdev Chhatbar.
ELIMU SHIRIKISHI NA UHIFADHI WA UTALII YATOLEWA MASHULENI
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya
uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utalii wa ndani kwe...
4 hours ago

No comments :
Post a Comment