Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 24, 2012

TIGO YAKAMILISHA DROO YA MWISHO YA TIGO BEATS




Mtaalamu wa promosheni wa Tigo Edward Shilla (kushoto) na Ofisa wa viwango wa Tigo Pamela Shelukindo, wakitabasamu baada ya kusikia furaha ya mshindi wa shindano la tigo beats mara baada ya kuchezeshwa droo ya mwisho.

Mtaalamu wa promosheni na udhamini wa Tigo Edward Shilla akzizungumza na waandishi wa habari kuhusu kumalizika kwa promosheni ya Tigo beats ambapo kwenye droo ya leo amepatikana mshindi wa pili Hamisi Athumani Mkazi wa Morogoro aliyejishindia Tsh 10Millioni, kutoka kulia ni Afisa habari wwa tigo Alice Maro, Chiku Saleh kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha na Afisa wa viwango wa Tigo Pamela Shelukindo.


Pamela akipiga simu kwa mshindi huyo.
Uhakiki wa namba ya mshindi unafanyika kwa kuandika nambayake baada ya kuitamka kwa usahihi.

No comments :

Post a Comment