Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 28, 2012

SHUHUDIA MATUKIO YANAYOJIRI KWENYE SHINDANO LA EPIQ BONGO STAR SERCH MKOANI TANGA.



Mwana dada Digina Ndetela kutoka Mkoani Dodoma akiwa ametinga tanga kujaribu bahati yake ya kufanya vizuri ili aende Dar es Salaam kushiriki Shindano la Epiq Bongo Star Serch, na hapo akionyesha uwezo wake mbele ya majaji.
Mshiriki huyu anaitwa Mshewa Musa yeye alikosa nafasi Mkoani Arusha na sasa ametinga Mkoani Tanga kujaribu Bahati kwa mara ya Pili.
Washiriki hawa wakiwa kwenye foleni wakisubiri kuingia ndani ya ukumbi kukutana na majaji.
Mshiriki Hidaya Henein akiwa kwenye foleni kusubiri kwenda kuonyesha uwezo wake.

Shindano la Epiq Bongo Star Serch limeingia Mkoani Tanga katika ukumbi wa klabu ya La Casa Chica. Mwamko wa washiriki umekuwa kama ulivyotegemewa ambapo zaidi ya washiriki 300 walikuwa wameisha jisajiri kwanza kwa ajiri ya kufanya usaili siku ya leo. Washiriki wengi walioshindwa kupata nafasi katika mikoa mingine wamejitokeza katika mkoa wa Tanga kitu ambacho kimeongeza ushindani kwa washiriki kutokea eneo hili la Tanga.

No comments :

Post a Comment