Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 27, 2012

BONDIA MCHUMIATUMBO AMPA SIKU 7 BINGWA WA UZITO WA JUU KUKABIDHI MKANDA



 BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini katika uzito wa juu 'Heavy Weight' Alphonce Mchumiatumbo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusina na kutaka kumkabili bingwa mtetezi Awadh Tamim na kumpa siku saba kutoa tamko la mchezo huo ama kuachia mknda ili apiganie na bondia mwingine.Kulia kwake ni kocha wake Juma Uwesu.
 Mchumiatumbo akitoa manjonjo


No comments :

Post a Comment