Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 28, 2012

MKUU WA WILAYA NACHINGWEA AENEZA KAULI MBIUYAKE YA AMANI NA MAENDELEO KWA WANANCHI.



Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Regina Chongo (watatu kulia mrefu) akiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukutana na makundi ya kijamii likiwemo kundi la kina mama wa wilaya hiyo ikiwa ni kwenye harakati zake za kuhimiza maendeleo Wilayani humo.
Baadhi ya kinamama waliohudhuria mkutano huo wakiongoza na Mee Mashuhuri tangu wakati wa harakati za kudai Uhuru Binti Kanduru (Mwenye Fulana ya Njano) wakifuatilia Mkutano huo Mjini Nachingwea.

OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea imeandaa maombi na kuyapeleka Serikalini kupanga mipango ya Kurudisha usafiri wa Reli ambao ulikuwapo miaka ya nyuma katika wilaya hiyo ili kusaidia Usafirishaji wa Mazao  kama ilivyokuwa awali ambapo tuta la Reli hiyo bado lipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Rigina Chonjo wakati akizungumza na wananchi wa Nachingwea ikiwa ni sehemu ya harakati zake za kuhimiza maendeleo.
Kupitia kauli mbiu yake ya Amani na Maendeleo amewahimiza wakazi wa Wilaya hiyo kufanya kazi  kwa juhudi ili kujiongezea kipato. Pamoja na kuwahimiza wawekezaji kujitokeza kuwekeza kwenye Wilaya hiyo kuna fursa nyingi ikiwemo madini ya aina mbalimbali.
Alihimiza kila kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi afanye kazi asikae bila ya kazi hasa ukizingatia shughuli kuu za kiuchumi wilayani humo ni kilimo, Kwa upande wa wazazi wao wamehimizwa kufuatilia na kusimamia elimu ya watoto wao

No comments :

Post a Comment