Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 28, 2012

SHUHUDIA UZINDUZI WA OLIMPIC ULIVYO FANA JANA NCHINI UINGEREZA. Maandalizi yasifiwa yalikua mazuri wadau wa michezo wapongeza. Wajitahidi kuonyesha uhalisia wa utamaduni wao.



Viwanja namna vilivyo pendeza kwa kuwekewa nakshi za ubunifu wa uhakika.
Kikosi Cha Tanzania ambacho kina wanamichezo saba wakiongozwa na walimu wao kikipita mbele ya kadamnasi waliohudhuria uzinduzi huo.
Kwa juu akiangalia Kiwanja hicho utaona namna hii.
Ukiangalia kwa nnje utaona hivi mvuto wake.

No comments :

Post a Comment