Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 24, 2010

BAFANA BAFANA YATARAJI KUCHEZA MICHEZO MIWILI YA KIRAFIKI BRAZILI

kocha wa Bafana Bafana Carlos Alberto Pereira
Vyombo vya habari vya Brazili vimeripoti kuwa kocha Carlos Alberto Parreira amethibitisha kwamba Bafana Bafana itacheza michezo miwli ya kirafiki na klabu za juu nchini Brazili ikiwa ni pamoja za Sao Paulo, Palmeiras na Santos, kabla ya kurejea nchini Afrika Kusini.

Hata hivyo, imeongezwa kuwa michezo yote hiyo miwili Bafana Bafana itatumia wachezaji wake wa akiba.

Siku ya Jumatatu, Raisi wa klabu ya Palmeiras FC nchini Brazilil, Luiz Gonzaga Belluzzo, alisema hana taarifa ya uewpo wa mchezo dhidi ya Bafana Bafana ambao umepangwa kuchezwa siku ya Jumamosi kufuatia uwanja wao kutumiwa na klabu za ligi daraja la nne, klabu za Verdao na Mirassol, wakati mratibu wa michezo wa klabu hiyo Antonio Biasetto, naye akiungeza kusema kwamba hana taarifa mipango ya mchezo huo.

1 comment :

  1. Hello, Neat post. There is a problem with your website in internet explorer, might test this?
    IE nonetheless is the market leader and a huge component to folks will
    leave out your great writing because of this problem.


    Also visit my website ... cellulite treatment cream

    ReplyDelete